Friday, July 12, 2019

UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA MOROGORO VIJIJINI

UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA MOROGORO VIJIJINI NEW
Kauli ya Jaffo
" kukamilika Kwa hospitali na zahanati ni moja ya kipimo chako, hospitali ya Wilaya isipokamilika nitamshauri Mheshimiwa Rais juu ya watendaji wa Morogoro Vijijini"

Mh. Suleiman Jaffo, Waziri TAMISEMI alipotembelea Halmashauri ya Morogoro Vijijini kukagua ujenzi wa hospitali

Related Posts